Mwezi wa Ramadhani
IQNA - Mahakama kuu ya Saudi Arabia imetoa wito kwa watu wa nchi hiyo kujaribu kufanya Istihlal (kuutafuta mwezi mwandamo ) Jumapili jioni.
Habari ID: 3478480 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/10
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) amesisitiza kuhusu udharura wa kuungana Waislamu katika kutangaza mwezi mwandamo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3473795 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/09
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Kimataifa Kimataifa cha Nujumu (IAC) chenye makao yake mjini Abu Dhabi kimetangaza kuwa makadirio yanayoonyesha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani 1442 Hijria Qamaria utaanza Aprili 13 2021.
Habari ID: 3473783 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/04
TEHRAN (IQNA) – Baraza la Fiqhi ya Amerika Kaskazini imetangaza kuwa Ijumaa Aprili 24 itakuwa siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3472659 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/04/12
TEHRAN (IQNA)-Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kidini Oman imetangza kuwa Mei 17 itakuwa siku ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3471500 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/07